BREAKING: MUIGIZAJI ‘MAMA ABDUL’ AFARIKI DUNIA







MUIGIZAJI Mkongwe wa filamu hapa nchini, Salome Nonge maarufu kwa jina la Mama 
Abdul amefariki dunia leo Januari 25, akiwa nyumbani kwake maeneo ya Mburahat Jijini Dar es Salaam.
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msemaji wa Chama cha Waigizaji Kinondoni, Masoud Kaftany.


Post a Comment

1 Comments